• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Maadili ya Madiwani

KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI

Kamati hii imeundwa  kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Halmashauri na hutekeleza majukumu yake chini ya Kanuni za Maadili ya Madiwani za Mwaka 2000

Kamati hii ni muhimu katika kujenga mahusiano mema kati ya Halmashauri, Wananchi na watendaji ili kujenga imani ya wananchi kwa viongozi wao wa umma na Halmashauri. Diwani kama kiongozi, wananchi wana haki ya kutegemea kuwa atatoa mfano wa kuigwa katika maisha yake ya kila siku na katika utekelezaji wa majukumu aliyokabidhiwa kwa mujibu wa Sheria.

Majukumu ya Kamati hii ni pamoja na

Kujenga na kudumisha imani ya wananchi kwa viongozi wao

Kuweka utaratibu mzuri wa uwazi na uwajibikaji

Kujenga mazingira bora ya kuwavutia wananchi kushiriki katika shughuli za Maendeleo

Kupunguza migongano kati ya madiwani, watendaji na wananchi

Kuweka bayana maadili yanayotegemewa kwa viongozi katika jamii ya watu

Kuibua, kukuza na kudumisha demokrasia

 

WAJUMBE WA KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

NA
JINA
KATA
CHAMA
1
MHE. PETER NDEREKO 
ENGARENAIBOR - MWENYEKITI
CCM
2
MHE. DR STEPHEN KIRUSWA
MBUNGE
CCM
3
MHE. JAMES KUKAN
MATALE
CCM
4
MHE. WITNESS MOLLEL
VITI MAALUM - TINGATINGA
CCM

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA May 05, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI March 11, 2022
  • MAJINA YA WALIOTWA KAZINI March 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI April 20, 2022
  • View All

Habari Mpya

  • MADIWANI HALMASHAURI YA LONGIDO WAWASILISHA TAARIFA ZA KATA KWA ROBO YA KWANZA YA MWAKA 2021..

    November 18, 2021
  • KATIBU TAWALA MKOA WA ARUSHA DKT.KIHAMIA ATEMBELEA MIRADI YA AFYA NA ELIMU LONGIDO

    November 17, 2021
  • MKUU WA WILAYA AONGEA NA WALEZI WA SHULE KUHUSU USIMAMIZI MIRADI YA PESA ZA UVIKO-19.

    November 17, 2021
  • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE SAMIA SULUHU HASSAN AZINDUA MRADI WA MAJI SAFI LONGIDO

    October 18, 2021
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM