• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Uchumi, Ujenzi na Mazingira

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ni Kamati inayoshughulika na masuala ya uzalishaji mali ikiwemo Kilimo, Mifugo, Viwanda, Madini, Biashara pamoja na Miundombinu na suala zima la Maendeleo ya Ardhi na hifadhi ya Mazingira.

 

kupendekeza kwa Halmashauri mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato yatokanayo na upanuzi huo

kupendekeza mipango ya matumizi ya Ardhi katika Halmashauri

kusimamia matumizi ya Sheria ya Nguvu kazi

kuandaa mipango madhubuti ya upanuzi wa Maendeleo ya Kilimo

kusimamia na kuhakiki miradi ya Ujenzi wa masoko, minada, majosho na vituo vya Mifugo

kushughulikia uanzishaji na uendelezaji wa Vyama vya Ushirika

kupendekeza mipango ya Ujenzi au upanuzi wa Vituo, viwanja, majengo na Mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo

kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale na mandhari mbalimbali zenye sura nzuri

kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa Nyaraka muhimu kwa ajili ya Kumbukumbu kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287

kupendekeza namna bora ya malezi ya Vijana ili waweze kuwa wazalishaji katika Taifa

kusimamia uanzishaji wa uendelezaji wa Vikundi vya Jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa Sera ya Maendeleo ya Jamii

kusimamia na kuhakiki maeneo ya Misitu, Mapori na Mbuga zilizotengwa kama Hifadhi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa

kupendekeza na kufanya tathmini ya uendelezaji wa mabonde, mito na mabwawa

kubuni na kupendekeza namna ya kudhibiti Moto

kubuni na kupendekeza mikakati ya utumiaji wa Nishati mbadala, kuzuia ukataji wa Miti ovyo na kuhimiza upandaji miti kwa wingi

kuhakikisha kwamba Ukaguzi wa Majengo unafanyika mara kwa mara

kupendekeza Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii

 

 

WAJUMBE WA KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

NA

JINA

KATA

CHAMA

1
MHE. PETER LEKANETI 
TINGATINGA - MWENYEKITI
CCM
2
MHE. SABORE K. MOLLOIMET
MWENYEKITI WA HALMASHAURI
CCM
3
MHE. DR STEPHEN KIRUSWA
MBUNGE
CCM
4
MHE. WITNESS ISACK
VITI MAALUM – TINGATINGA
CCM
5
MHE. HASSAN NGOMA
NAMANGA
CUF
6
MHE. JAMES K. KUKAN
MATALE
CCM
7
MHE. NAOMI E. MOLLEL
VITI MAALUM – LONGIDO
CHADEMA
8
MHE. SANO OLTUS
ILORIENITO
CCM
9
MHE. LODUPA S. LAITAYOK
KIMOKOUWA
CHADEMA
10
MHE. MOTIKA KASOSI
ORBOMBA
CCM

 

Matangazo

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA December 01, 2022
  • MACHAGUO KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO KIDATO CHA SITA LONGIDO July 10, 2021
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI YA SIASA YA MKOA YATUA LONGIDO

    March 23, 2023
  • MGAO WA PIKIPIKI KWA WATENDAJI WA KATA LONGIDO

    March 11, 2023
  • ZIARA YA NAIBU WAZIRI WILAYANI LONGIDO

    March 06, 2023
  • MDIWANI WAWASILISHA TAARIFA ZA ROBO YA PILI .

    February 01, 2023
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM