• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Huduma zetu Afya

HUDUMA ZA AFYA, USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE.

Halmashauri ya Wilaya ya Longido inatekeleza majukumu ya msingi ya kutoa huduma bora za afya kwa wakazi wake kupitia vituo mbalimbali vya kutolea huduma za afya vilivyopo wilayani. Huduma hizi zinalenga kuhakikisha kuwa wananchi wanapata huduma za kinga, tiba, na uhamasishaji wa afya kwa wakati na kwa ubora unaostahili.

Vituo vya Afya Vilivyopo:

Hadi kufikia mwaka 2025, huduma za afya zinapatikana kupitia:

  • Hospitali ya Wilaya ya Longido – inatoa huduma za msingi na za rufaa kwa wagonjwa kutoka kata mbalimbali za Wilaya ya Longido.
  • Vituo vya Afya viko 6 – vilivyopo katika maeneo ya Kimokouwa, Engarenaibor, Ketumbeine, Olmology, Gelailumbwa na Namanga, na vinatoa huduma za matibabu.
  • Zahanati ziko 33 – zilizosambaa katika kata mbalimbali za Wilaya, zikitoa huduma za msingi za afya na matibabu.
  • Makao maalumu (nyumba salama) iko 1- nyumba  ya watoto wenye uhitaji maalumu katika Wilaya ya Longido.

Aina za Huduma Zinazotolewa:

  • Huduma ya mama na mtoto (chanjo, kliniki ya wajawazito na watoto wachanga)
  • Huduma za dharura na rufaa
  • Huduma za matibabu ya kawaida na ya wagonjwa wa nje
  • Huduma ya upimaji na tiba ya VVU na magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu n.k
  • Huduma ya afya ya akili na ushauri nasaha
  • Huduma za kujifungua kwa akina mama wajawazito.
  • Elimu ya afya kwa jamii
  • Udhibiti wa magonjwa ya mlipuko na ya kuambukiza.
  • Huduma za maabara na vipimo.
  • Huduma za Wagonjwa mahututi (ICU).
  • Huduma za Macho.
  • Huduma za upasuaji.
  • Huduma za kuhifadhi maiti (Mortuary services).
  • Huduma za mionzi.
  • Huduma za Lishe na ushauri wa ulaji wa vyakula.
  • Huduma za Meno.
  • Huduma za kliniki kwa magonjwa yasiyo ambukiza (NCDs).
  • Huduma za ustawi wa jamii.

Mikakati ya Kuboresha Huduma za Afya kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026:

  1. Kukamilisha ujenzi Hospitali ya Wilaya, Vituo vya Afya pamoja na zahanati mpya katika vijiji na kata zisizo na huduma za afya.
  2. Kuongeza upatikanaji wa dawa muhimu na vifaa tiba katika vituo vyote.
  3. Kuwajengea uwezo wataalamu wa afya kwa mafunzo ya mara kwa mara.
  4. huduma za afya ya msingi kupitia kampeni za uhamasishaji.
  5. Kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto kwa kupunguza vifo vya uzazi.
  6. Kuanzisha na kuimarisha mifumo ya usimamizi wa taarifa za afya kwa kutumia TEHAMA.
  7. Kuongeza huduma za upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza na ushauri nasaha.
  8. Kufanikisha utoaji wa huduma rafiki kwa vijana na makundi maalumu.
  9. Kuimarisha huduma za afya ya jamii kupitia Watoa Huduma wa Afya Ngazi ya Jamii (CHW).
  10. Kushirikiana na wadau wa maendeleo ili kuongeza rasilimali kwa ajili ya miradi ya afya.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025 November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • LONGIDO YAANZA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE, WANUFAIKA 9,964 TASAF KUPATA BIMA BURE

    February 13, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LONGIDO LATAKA MIRADI VIPORO IKAMILISHWE KABLA YA KUANZA MIRADI MIPYA

    February 06, 2026
  • LONGIDO YAADHIMISHA SIKU YA SHERIA, VIONGOZI WAHIMIZA UTII WA SHERIA

    February 04, 2026
  • TEKNOLOJIA YAONGEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO LONGIDO

    February 04, 2026
  • View All

Video

SHUGHULI ZA MAENDELEO ZILIZOFANYWA NA BARAZA LA MADIWANI LONGIDO KWA KIPINDI CHA DISEMBA 2025-JANUARI 2026
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: +255 272 970 793/ 94

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • axl777
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • toto
  • Toto 4D
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • toto slot
  • koi200
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • toto slot
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88