• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YABORESHA HUDUMA KWA WANANCHI KWA KUGAWA PIKIPIKI KWA MAAFISA WA IDARA YA AFYA NA MAENDELEO YA JAMII

Posted on: November 20th, 2024

Na Happiness E Nselu


Katika juhudi za kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi, Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido imekabidhi pikipiki nne kwa maafisa wa Idara ya Afya na Maendeleo ya Jamii. Hatua hii inalenga kurahisisha utendaji kazi wa maafisa hao kwa kuwafikia wananchi walioko maeneo ya vijijini, hususan maeneo yenye changamoto za kijiografia.  


Akikabidhi pikipiki hizo, Mkuu wa Wilaya ya Longido, Mheshimiwa Salumu Kalli, aliishukuru ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji kwa kujali mahitaji ya idara hizo na kuonyesha dhamira ya kuimarisha huduma kwa wananchi. Aidha, Mheshimiwa Kalli alimshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake za kuboresha sekta za afya na maendeleo ya jamii, ambazo zimewezesha upatikanaji wa nyenzo hizo muhimu.  


Mheshimiwa Kalli aliwataka maafisa waliopokea pikipiki hizo kuhakikisha wanazitumia kwa malengo yaliyokusudiwa, akisisitiza kwamba hazipaswi kutumika kwa shughuli binafsi kama vile bodaboda au biashara nyingine. "Pikipiki hizi ni kwa ajili ya wananchi. Tutawafuatilia kuhakikisha zinatumika ipasavyo katika kutoa huduma bora kwa jamii," alisema.  


Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji, Bi. Grace Mghase, Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya, alisema kuwa pikipiki hizo ni sehemu ya jitihada za halmashauri ya kuhakikisha huduma muhimu zinawafikia wananchi kwa urahisi na kwa haraka. “Nyenzo hizi zitatusaidia kufanikisha malengo yetu ya kuwafikia wananchi hata katika maeneo yaliyo mbali,” alisema Bi. Mghase.  


Afisa Afya wa Wilaya, Bi. Judithi Meela, alitoa shukrani kwa ofisi ya mkurugenzi kwa kuwezesha upatikanaji wa pikipiki hizo muhimu. Alisema kuwa pikipiki hizo zitakuwa mkombozi mkubwa kwa maafisa wa idara ya afya katika kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi kwa wakati na kwa ufanisi zaidi.  


Naye Bw. Musa Kabula Afisa maendeleo ya jamii, aliyepokea pikipiki hizo kwa niaba ya maafisa wa Maendeleo ya Jamii, alisema kuwa nyenzo hizo zitawasaidia kufanikisha kazi zao katika maeneo yote ya wilaya. “Changamoto za miundombinu hazitakuwa tena kikwazo. Sasa tunaweza kuwahudumia wananchi wetu kwa wakati unaofaa,” alisema huku akitoa shukrani kwa uongozi wa halmashauri.  


Halmashauri ya Wilaya ya Longido inaendelea kuonyesha dhamira yake ya kuboresha maisha ya wananchi kwa kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora kupitia uwekezaji wa rasilimali muhimu. Hatua kama hizi si tu zinaharakisha maendeleo ya kijamii bali pia zinaimarisha uhusiano kati ya serikali na wananchi wake.




Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025 November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • KUELEKEA SIKU YA WANAWAKE: LONGIDO YACHOCHEA UWEZESHAJI WA KIUCHUMI NA KIJAMII

    March 03, 2026
  • LOKEEN-NATRON NA WWF WATOA MAFUNZO YA UHIFADHI WA RASILIMALI MAJI LONGIDO

    February 26, 2026
  • KAMATI YA USHAURI LONGIDO YAPENDEKEZA SOKO NA STENDI KUPEWA KIPAUMBELE BAJETI YA 2026/2027

    February 20, 2026
  • DC KALLI AWATAKA WATENDAJI KUSOMA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA 2026/2027

    February 20, 2026
  • View All

Video

SHUGHULI ZA MAENDELEO ZILIZOFANYWA NA BARAZA LA MADIWANI LONGIDO KWA KIPINDI CHA DISEMBA 2025-JANUARI 2026
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: +255 272 970 793/ 94

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • axl777
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • toto
  • Toto 4D
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • toto slot
  • koi200
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • situs toto
  • dora77
  • toto slot
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77
  • situs toto