• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

UTAPIAMLO WAPUNGUA KWA ASILIMIA MOJA (1%)LONGIDO

Posted on: May 14th, 2019

Magonjwa ya Utapiamlo yameendelea kupungua kwa asilimia moja (1%) kutoka 1.5% hadi 1.4% katika kipindi cha Januari – Machi hayo yamesemwa leo tarehe 14/05/2019 katika kikao cha  Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Longido wakati wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji kwa robo ya tatu(Januari mpaka Machi) 2019 katika ukumbi wa Halmashauri na kuhudhuliwa na wajumbe wa kamati hiyo.

Tathimini iliyofanyika katika robo hiyo ya tatu inaonesha kiwango cha utapiamlo kimepungua kwa asilimia 1% kutoka 1.5% hadi 1.4% . Kupungua huko kumeambatana na utoaji wa Elimu inayotolewa na kitengo cha Elimu kwa Wazazi na Walezi juu ya umuhimu wa Vitamin A na dawa za minyoo kwa watoto, kuwapeleka cliniki kwa kuzingatia tarehe walizopangiwa kurudi kwa ajili ya kupima maendeleo ya watoto.

Vilevile tathmini iliyofanyika inaonesha kuwa watoa huduma ngazi ya jamii kwa kushirikiana na wahudumu wa Afya kwenye vituo vya kutolea huduma walitoa elimu ya umuhimu wa  mtoto kunyonya maziwa ya mama pekee kwa kipindi cha miezi 6 ya mwanzo na hata pale mtoto atakapokuwa ameanza kupewa vyakula mpaka kipindi cha miaka miwili na zaidi.

Aidha tathmini hiyo ya kupungua kwa magonjwa hayo iliambatana na kamati kutoa vitamin A kwa watoto wapatao 33,704 wenye umri wa miaka 5. Hata hivyo watoto waliopata chanjo ni 32,483 sawa na 103%, licha ya kufanya hivyo kamati ya lishe inategemea kutoa matone ya Vitamini A na dawa za minyoo kwa watoto chini ya miaka 5 kuanzia June 1 hadi June 30, 2019.

Mikakati mbalimbali iliwekwa na kamati hiyo ya kuendelea kutoa elimu ya lishe kwa wanajamii na kuvitembelea vituo vyenye changamoto ya kuwa na idadi kubwa ya watoto wenye utapiamlo lakini pia kuwajengea uwezo watoa huduma ngazi ya jamii juu ya unasihi wa lishe .

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025 November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • DC LONGIDO ATOA SIKU 12 KWA VIKUNDI VINAVYODAIWA MIKOPO YA HALMASHAURI KUREJESHA

    January 19, 2026
  • DC LONGIDO ATOA SIKU 12 KWA VIKUNDI VINAVYODAIWA MIKOPO YA HALMASHAURI KUREJESHA

    January 19, 2026
  • DC LONGIDO ATOA SIKU 12 KWA VIKUNDI VINAVYODAIWA MIKOPO YA HALMASHAURI KUREJESHA

    January 19, 2026
  • DC LONGIDO ATOA SIKU 12 KWA VIKUNDI VINAVYODAIWA MIKOPO YA HALMASHAURI KUREJESHA

    January 19, 2026
  • View All

Video

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 29 0KTOBA 2025
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: +255 272 970 793/ 94

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • toto
  • Toto 4D
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200