• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

LONGIDO YAJIPANGA KWA MAPOKEZI YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, AWALI NA DARASA LA KWANZA

Posted on: December 31st, 2025

NA ABRAHAM NTAMBARA

Halmashauri ya Wilaya ya Longido imejipanga kuhakikisha wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, Awali na Darasa la Kwanza walioandikishwa kwa muhula wa masomo wa mwaka 2026 wanaanza masomo pindi shule zitakapofunguliwa rasmi Januari 13, 2026.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido, Mhe. Thomas Ngobei, alipokuwa akizungumza baada ya kukamilika kwa ziara ya siku mbili ya kukagua maandalizi ya upokeaji wa wanafunzi hao, hususan katika shule mpya wilayani humo. Ziara hiyo ilianza Desemba 30 na kukamilika leo Desemba 31, 2025.

Amesema kuwa maandalizi yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika yanatoa matumaini kuwa ifikapo Januari 13, 2026, wanafunzi wote wanaostahili kuanza masomo kwa muhula wa mwaka 2026 wataanza masomo yao bila vikwazo vyovyote.

Kutokana na hali hiyo, Mhe. Ngobei amewahimiza wazazi na walezi kuhakikisha watoto wao wanaripoti shuleni mara shule zitakapofunguliwa, akisisitiza kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wazazi watakaokaidi agizo hilo.

“Tumetembelea shule mbalimbali na kuhakiki maandalizi ya mapokezi ya wanafunzi kwa mwaka 2026. Longido tumejipanga na tupo tayari kwa mapokezi ya wanafunzi,” amesema Mhe. Ngobei.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Afya na Maji, Mhe. Obedy Mollel, amesema kuwa baada ya kutembelea shule hizo, kamati imeridhika na maandalizi yaliyofanyika, kwani wakuu wa shule wamewahakikishia kuwa wako tayari kupokea wanafunzi wote.

“Tumejiridhisha kuwa shule zote tulizotembelea zimejipanga vizuri kwa mapokezi ya wanafunzi. Walimu wakuu wametuhakikishia kuwa wanafunzi wote watapokelewa na kuendelea na masomo yao,” amesema Mhe. Mollel.

Aidha, amewapongeza wananchi kwa kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kushirikiana na viongozi wa kata na vijiji katika kutatua baadhi ya changamoto, ikiwemo kuchangia mahitaji mbalimbali kama vile viti, meza na vitanda, ili kuweka mazingira rafiki ya kujifunzia kwa wanafunzi.

Naye Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido, Mhe. Peter Lekaneti, amewahimiza wananchi kuendelea kutatua changamoto zinapojitokeza kwa kushirikiana na Serikali, ambayo itaendelea kuongeza nguvu ili kukamilisha utatuzi wa changamoto hizo.

Mhe. Ngobei alikagua maandalizi katika Shule Shikizi ya Laalaroi na Shule ya Sekondari Noondoto, zote zilizopo Kata ya Noondoto. Aidha, alitembelea Shule ya Sekondari Mundarara na Shule ya Msingi Lesing’ita, zilizopo Kata ya Mundarara.

Alitembelea pia Shule ya Sekondari Kimokouwa, Shule ya Sekondari Kamwanga, Shule ya Msingi Kamwanga, Shule ya Sekondari Sinya, Shule ya Msingi Sinya, Shule ya Sekondari ya Wasichana Longido Samia pamoja na Shule ya Msingi Oltepes.

Katika ziara hiyo, Mhe. Ngobei aliambatana na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri, Mhe. Peter Lekaneti; Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Maji, Mhe. Obedy Mollel; Kaimu Afisa Elimu Sekondari, Bw. Mgonza Salehe; pamoja na Kaimu Afisa Elimu Msingi, Bw. Mustafa Kaisi.

Kwa mujibu wa ratiba ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, shule za Awali, Msingi na Sekondari zinatarajiwa kufunguliwa rasmi Januari 13, 2026.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025 November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • LONGIDO YAANZA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE, WANUFAIKA 9,964 TASAF KUPATA BIMA BURE

    February 13, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LONGIDO LATAKA MIRADI VIPORO IKAMILISHWE KABLA YA KUANZA MIRADI MIPYA

    February 06, 2026
  • LONGIDO YAADHIMISHA SIKU YA SHERIA, VIONGOZI WAHIMIZA UTII WA SHERIA

    February 04, 2026
  • TEKNOLOJIA YAONGEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO LONGIDO

    February 04, 2026
  • View All

Video

SHUGHULI ZA MAENDELEO ZILIZOFANYWA NA BARAZA LA MADIWANI LONGIDO KWA KIPINDI CHA DISEMBA 2025-JANUARI 2026
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: +255 272 970 793/ 94

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • axl777
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • toto
  • Toto 4D
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • toto slot
  • koi200
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • toto slot
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88