• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

LONGIDO YATOA VIPAJI KUUNDA TIMU YA MKOA KWENYE MASHINDANO YA UMISSETA

Posted on: June 6th, 2025

Baada ya kufanyika kwa mashindano ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) ngazi ya wilaya, Wilaya ya Longido imepata wanafunzi mahiri watakaoungana na wenzao kutoka wilaya nyingine kuunda timu ya Mkoa wa Arusha kwa ajili ya kushiriki mashindano ya UMISSETA ngazi ya mkoa.

Mashindano hayo ya ngazi ya wilaya yalifanyika kwa siku kadhaa yakihusisha shule mbalimbali za sekondari kutoka maeneo yote ya Longido, ambapo wanafunzi walishindana katika michezo ya mpira wa miguu, netiboli, mpira wa wavu, riadha na mingineyo.

Akizungumza mara baada ya kutangazwa kwa wachezaji waliochaguliwa, Kaimu Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Longido, Bi. Asha Kivaju, alisema kuwa uchaguzi huo umefanyika kwa kuzingatia vipaji, nidhamu na uwezo wa wachezaji kwa ujumla.“Tumeweza kupata vijana 120 waliothibitisha uwezo wao na sasa watawakilisha Longido katika timu ya mkoa. Hii ni fahari kubwa kwetu kama wilaya kuona mchango wetu unatambulika hadi ngazi ya juu,” alisema Bi. Asha.

Aidha, alitoa wito kwa wazazi, walimu na jamii kwa ujumla kuendelea kuwapa sapoti wanafunzi hao, kwani michezo ni sehemu muhimu ya kukuza vipaji, kujenga nidhamu, kuimarisha afya na kuleta fursa za maendeleo kwa vijana.Wakati huo huo, baadhi ya wanafunzi waliopata nafasi hiyo walieleza furaha yao kwa kuchaguliwa kuwakilisha mkoa na kuahidi kuitumia fursa hiyo vizuri kwa kuonyesha nidhamu, ushindani na uzalendo.


“Ni ndoto yangu siku moja kuvaa jezi ya timu ya taifa, na hii ni hatua muhimu kuelekea huko,” alisema Hassan Mohamed, mmoja wa wanafunzi waliochaguliwa.Mashindano ya UMISSETA ngazi ya Mkoa yanatarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 9  mwezi huu katika viwanja vya shule ya Sekondari Ilboru  Arusha, ambapo timu ya mkoa itachaguliwa rasmi kwa ajili ya kuiwakilisha Kanda katika mashindano ya Taifa.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • WAZIRI WA MIFUGO AZINDUA CHANJO YA MIFUGO ,AWATAKA WAFUGAJI KUFUGA KISASA

    July 02, 2025
  • LONGIDO YAAGA MADIWANI WAKE KWA HESHIMA, YASIFIA UONGOZI WAO WA HEKIMA NA BUSARA

    June 20, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM