• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

Posted on: April 17th, 2025

Na Happiness Nselu , Longido

Katika juhudi za serikali ya awamu ya sita kuhamasisha matumizi ya nishati safi na kuondokana na utegemezi wa nishati chafu kama kuni na mkaa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa msaada wa mitungi 50 ya gesi kwa mama na baba lishe wa Wilaya ya Longido.

Zoezi la ugawaji wa mitungi hiyo limefanyika kwa mafanikio makubwa na kuongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Longido, Mhe. Salum Kalli, ambaye alikabidhi rasmi mitungi hiyo kwa wajasiriamali hao wadogo kama sehemu ya mpango wa kitaifa wa matumizi ya nishati safi kwa ajili ya kuhifadhi mazingira na kuboresha afya za wananchi.

Akizungumza wakati wa tukio hilo, Mhe. Kalli alisema kuwa dhamira ya Rais ni kuhakikisha kila kaya, hasa zinazojihusisha na shughuli za upishi, zinatumia nishati safi ili kuokoa mazingira na kupunguza athari za kiafya zitokanazo na moshi wa kuni na mkaa.

“Rais amedhamiria kuona Watanzania wanapika kwa usalama zaidi na kwa njia ya kisasa. Mitungi hii ya gesi si tu kwamba itarahisisha kazi zenu, bali pia ni mchango mkubwa katika mapambano dhidi ya uharibifu wa mazingira,” alisema Mhe. Kalli.

Afisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya hiyo, Bi Grace Mghase, alitumia fursa hiyo kuwahimiza wakazi wa Longido kuunga mkono juhudi za serikali kwa kubadilika kifikra na kuachana na matumizi ya nishati chafu.

“Hii ni fursa muhimu kwa jamii yetu. Tukiendelea kutumia kuni na mkaa, tunaharibu misitu na afya zetu pia ziko hatarini. Gesi ni njia salama, safi na ya haraka katika shughuli za kila siku, hasa kwa mama na baba lishe ambao muda ni rasilimali muhimu,” alieleza Bi Mghase.

Kwa upande wake, mama Saruni ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Mama na Baba Lishe wilayani humo, alitoa shukrani kwa serikali kwa kuwakumbuka wafanyabiashara wadogo na kuwapatia vifaa vinavyowawezesha kuboresha huduma zao kwa wateja.

“Kwa kweli tumefurahi sana. Hatua hii ni ya kihistoria kwa sisi mama na baba lishe wa Longido. Tunaahidi kuzitumia mitungi hii kwa uangalifu, tukiwa na lengo la kuboresha huduma zetu na kuhakikisha wateja wetu wanapata vyakula bora kwa wakati,” alisema mama Saruni kwa furaha.

Wananchi waliohudhuria tukio hilo walionekana wenye hamasa kubwa huku wengi wakisema kuwa hatua hiyo imewapa mwanga kuhusu umuhimu wa kuhama kutoka kwenye matumizi ya kuni na mkaa kwenda kwenye nishati safi kama gesi, jua, na umeme wa uhakika.

Kwa mujibu wa Afisa Maendeleo ya Jamii, mpango wa ugawaji wa nishati safi utaendelea kutekelezwa kwa awamu mbalimbali, huku vikundi vya wajasiriamali, mashule, na taasisi za kijamii vikipewa kipaumbele katika mgao wa vifaa hivyo.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA November 17, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025 November 05, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • LONGIDO YAANZA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE, WANUFAIKA 9,964 TASAF KUPATA BIMA BURE

    February 13, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LONGIDO LATAKA MIRADI VIPORO IKAMILISHWE KABLA YA KUANZA MIRADI MIPYA

    February 06, 2026
  • LONGIDO YAADHIMISHA SIKU YA SHERIA, VIONGOZI WAHIMIZA UTII WA SHERIA

    February 04, 2026
  • TEKNOLOJIA YAONGEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO LONGIDO

    February 04, 2026
  • View All

Video

SHUGHULI ZA MAENDELEO ZILIZOFANYWA NA BARAZA LA MADIWANI LONGIDO KWA KIPINDI CHA DISEMBA 2025-JANUARI 2026
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: +255 272 970 793/ 94

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • axl777
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • toto
  • Toto 4D
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • toto slot
  • koi200
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • toto slot
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88