Posted on: October 10th, 2019
Leo tarehe 10-10-2019 mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Longido Ndugu Jumaa Mhina amefanya kikao cha pamoja na watumishi wote wa halmashauri katika ukumbi wa Mwl.Julius Nyerere.
Kweny...
Posted on: October 1st, 2019
Leo tarehe 01-10-2019 katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya Longido imefanyika sherehe ya kuhitimisha kilele cha siku ya wazee ambayo kimkoa imefanyika hapa wilayani Longido na kuhudhuriwa na mgeni r...
Posted on: October 1st, 2019
Na. Zaina Mzee.
Mheshimiwa Sabore Kennedy Molloimet ameibuka kidedea kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa ALAT mkoa wa Arusha, Uchaguzi huo umefanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa halmashauri y...