Posted on: April 27th, 2018
Saratani ya mlango wa kizazi ni ugonjwa ambao umekuwa ukisababisha mateso na vifo vingi kwa wanawake.
Hayo yamesemwa leo tarehe 27/04/2018 na Mkuu wa wilaya &nbs...
Posted on: April 24th, 2018
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido Ndg. Jumaa Mhina leo tarehe 24/4/2018 amekabidhi miradi ya maji yenye thamani ya Tsh.80,236,460 kwa kamati za maji za kijiji cha Eworendek...
Posted on: April 22nd, 2018
Mkuu wa WIlaya ya Longido Mheshimiwa Daniel G. Chongolo amefanya Ziara ya kukagua miradi ya tabia nchi ya vibanio vya mifugo na kuweka jiwe la msingi ujenzi wa madarasa katika shule za msingi Kitenden...